Psalms 52:1

Hukumu Ya Mungu

(Kwa Mwimbishaji: Utenzi Wa Daudi. Baada Ya Doegi, Mwedomu, Kumwendea Sauli Na Kumjulisha Kuwa Daudi Amekwenda Nyumbani Kwa Ahimeleki)


1 aEwe jitu, mbona unajivunia ubaya?
Kwa nini unajivuna mchana kutwa,
wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?
Copyright information for SwhKC